AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Related image
Haji Manara kupitia ukurasa wake wa Twitter amesema kuwa, kichapo hicho kimetokana na ‘kuidharau timu hiyo’ jambo ambalo limesababisha matokeo hayo.
“Ni kweli mpira una matokeo matatu ila hili la leo limesababishwa na cc kuchukulia poa!! Poleni Washabiki wetu na mm kama Msemaji wenu nnaefurahi nanyi tunaposhinda niwaombe radhi sana na hayo ndio maisha ya Soka yalivyo Sasa tujikite kule.“
Kwa matokeo hayo ya jana, Simba FC imeyaaga rasmi mashindano ya Kombe la FA .
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK