Mhandisi Mbaroni Kwa Kuomba Rushwa ya Ngono

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU) jijini Dar inamshikilia Mhandisi wa Kampuni ya Mask and Sons, Leonard Mkaka kwa tuhuma za kuomba rushwa ya ngono

TAKUKURU ilimuwekea mtego katika nyumba ya kulala Wageni ya Nara Beach Lodge iliyoko Kigamboni na kufanikiwa kumkamata

Kampuni anayofanyia kazi imepewa zabuni ya kutengeneza barabara katika Halmashauri ya Temeke maeneo ya Toangoma mtaa wa Masaki jijini humo

Anaelezwa kuvunja kifungu cha 25 cha sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa namba 11/2017 na atafikishwa Mahakamani kufunguliwa mashtaka
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad