Mo j Atoa Sababu ya kumiga Migumi Gigy Money

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mtangazaji wa clouds media, Mo Jay amefunguka  baada ya mwanadada Gigy Money kusema katika mitandao ya kijamii kuwa baba wa mtoto wake huyo ndio aliempiga na wala sio mpenzi wake mpya.

Katika moja ya post yake wiki hii Gigy Money alieleza mengi na mwishoni alisema kuwa hata makovu hayo yaliyo mwilini mwake hivi karibuni ni baba mzazi wa mtoto wake ndio aliesababisha kwa kumpiga.

Hata baada ya maneno mengi katika kitandao, shabiki mmoja aliamua kum-attack mo jay kwa kuwambia kua aache kuiga mama wa mtoto wake na ndipo mwanaue huyo alipoamua kumjibu shabiki huyo kwa kusema “shortly alikuja kwangu kunifanyia fujo, na sio mara moja nitawaeleza ilivyokuwa :‘
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad