AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mtangazaji wa clouds media, Mo Jay amefunguka baada ya mwanadada Gigy Money kusema katika mitandao ya kijamii kuwa baba wa mtoto wake huyo ndio aliempiga na wala sio mpenzi wake mpya.
Katika moja ya post yake wiki hii Gigy Money alieleza mengi na mwishoni alisema kuwa hata makovu hayo yaliyo mwilini mwake hivi karibuni ni baba mzazi wa mtoto wake ndio aliesababisha kwa kumpiga.
Hata baada ya maneno mengi katika kitandao, shabiki mmoja aliamua kum-attack mo jay kwa kuwambia kua aache kuiga mama wa mtoto wake na ndipo mwanaue huyo alipoamua kumjibu shabiki huyo kwa kusema “shortly alikuja kwangu kunifanyia fujo, na sio mara moja nitawaeleza ilivyokuwa :‘
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK