Mrembo Sasha Kassim Atoa Povu, Aaanika Wowo la Mama yake Mzazi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


VIDEO Queen Sasha Kassim ameibuka na kudai kuwa mama yake anayeitwa Fatma ndio alimsababishia ‘matatizo’ na kuipata shepu ambayo humkosesha amani kila kukicha kitendo ambacho kimezua gumzo. 



Akipiga stori na Risasi Jumamosi, Sasha alidai kuwa watu wengi wamekuwa wakimsema kuwa anatengeneza shepu bila kujua kuwa shepu hiyo inayompa matatizo kila kukicha ameirithi kwa mama yake ambaye amefanana naye vitu vingi.

“Unajua kila siku nawaambia watu kuwa si-fake shepu lakini hawaelewi, sasa nimeamua kumuanika mama yangu ili waone kuwa ‘matatizo’ haya nimepata kutoka kwa mama yangu,” alisema Sasha. Sasha kwa sasa amepotea kidogo kwenye mitandao ya kijamii kwa sababu amerudi shule, anasoma Chuo cha Udaktari Bugando

STORI: Hamida Hassan
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad