AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Lakini majuzi mwanadada Cardi B aliweza kuweka wazi kuwa mahusiano yao yamevunjika rasmi na kauli hiyo ya Cardi B imemfanya mwanadada anayedaiwa kuwa ndio mchepuko wa Offset kufunguka na kuomba msamaha.
Mwanadada huyo anayejulikana kwa jina la Summer Bunni kupitia ukurasa wake wa Instagrama amefunguka na kusema ” Nasikia aibu, hii naieleza mimi kwenda kwa Cardi B, Mashabiki zake,Familia yake, na hali yake, hii haikuwa kusudio langu na sijawahi kuwaza kuvunja mahusiano na kuondoa furaha ya mtu na kumfanya mtu apewe talaka”
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK