Nyumba, Pagala, Inauzwa: Mapinga Mjini (Bagamoyo)

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Nyumba, Pagala, Inauzwa: Mapinga Mjini (Bagamoyo)

Ndugu zangu watanzania (haswa wana-Dar es salaam), nauza nyumba yangu (pagala) ambayo ilikuwa hatua za mwisho kukamilika lakini kutokana na sababu za kuyumba kiuchumi nimeamua kuiuza ili nijikwamue kiuchumi.
Kwa yeyote mwenye tsh 18,000,000/= naomba anipe kama sehemu ya gharama nilizokwisha kutumia katika ujenzi huu ili umalizie na kuhamia.

Nyumba ipo Mapinga, km 1 kutoka barabara kuu (Bagamoyo Road) na ina vyumba vya kulala 3 (kimoja master), sebure, dining, kitchen na public toilet. Kiwanja kina ukubwa wa mita 20/20 sawa na sqm 400. Huduma za maji na umeme zipo.

Kwa taarifa zaidi, piga 0758603077, wahi uione nyumba na tufanye biashara.
Ahsanteni.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad