AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nyumba, Pagala, Inauzwa: Mapinga Mjini (Bagamoyo)
Ndugu zangu watanzania (haswa wana-Dar es salaam), nauza nyumba yangu (pagala) ambayo ilikuwa hatua za mwisho kukamilika lakini kutokana na sababu za kuyumba kiuchumi nimeamua kuiuza ili nijikwamue kiuchumi.
Kwa yeyote mwenye tsh 18,000,000/= naomba anipe kama sehemu ya gharama nilizokwisha kutumia katika ujenzi huu ili umalizie na kuhamia.
Nyumba ipo Mapinga, km 1 kutoka barabara kuu (Bagamoyo Road) na ina vyumba vya kulala 3 (kimoja master), sebure, dining, kitchen na public toilet. Kiwanja kina ukubwa wa mita 20/20 sawa na sqm 400. Huduma za maji na umeme zipo.
Kwa taarifa zaidi, piga 0758603077, wahi uione nyumba na tufanye biashara.
Ahsanteni.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK