Polisi wa Kike Kuvaa Kaptula Fupi Kama Uniform(+Video)

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kutana na hii kutokea nchini Lebanon ambapo polisi wa kike wameruhusiwa kuvaa kaptula wakiwa kazini wakati wakiongoza magari barabarani hii ni baada ya Meya wa mji wa Broummana Pierre Achkar kutangaza kaptula kuwa uniforn wakati wa majira ya joto.

Pierre Achkar amesema kuwa kila mwaka anajaribu kufanya kitu cha tofauti ili kuvutia vyombo vya habari vya kimataifa ikiwa na kuwavutia watalii wanaoingia katika mji huo wa Broumanna huku akiamini kila kitu kinabadilika duniani kulingana na wakati.

Baadhi ya wananchi wa Lebanon wameonekana kukubaliana na maaumizi hayo mapya yaliyofanya na Meya huyo huku wengine wakimkosoa wakisema anatumia warembo hawa kuvutia watalii.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad