AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Pierre Achkar amesema kuwa kila mwaka anajaribu kufanya kitu cha tofauti ili kuvutia vyombo vya habari vya kimataifa ikiwa na kuwavutia watalii wanaoingia katika mji huo wa Broumanna huku akiamini kila kitu kinabadilika duniani kulingana na wakati.
Baadhi ya wananchi wa Lebanon wameonekana kukubaliana na maaumizi hayo mapya yaliyofanya na Meya huyo huku wengine wakimkosoa wakisema anatumia warembo hawa kuvutia watalii.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK