AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kampuni hiyo imeeleza kwamba kwa ujuzi, umaridadi na juhudi za Marubani wa ndege hiyo walifanikisha zoezi la kutua kwa ndege hiyo kwa usalama kabisa bila kusababisha madhara yeyote kwa Abiria 68 na Wafanyakazi wanne waliokuwemo ndani ya ndege hiyo.
Inaelezwa kitendo cha kundi la ndege kugongana na Ndege angani ni cha hatari sana na kinahitaji Marubani kujiamini na kuwa makini sana ili Ndege isianguke.
Aidha kwa sasa Ndege hiyo ipo chini ya Wataalamu wakiichunguza kubaini madhara yaliyojitokeza kutokana na mkasa huo na hatua za kuchuuka kukabiliana na madhara yatakayokuwa yamejitokeza.
Pia Precision Air imewashauri Abiria wote walioathirika kutokana na mkasa huo kubadilisha Ndege zao na imewaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK