AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Gigy Money amabe nae kila siku amekuwa hapitwi na matukio , aliwahi kuwa moja ya wadada waiowahi sana kuchapisha picha za nusu utupu katika mitandao lakini alikuja na kubadilika sana kuhusu kufanya hivyo.
Gigy Money anasema “sijawahi kutuma picha za uchi kwa mtu yoyote isipokuwa baba wa mtoto wangu, na hata hivyo naamini hata tugombane kiais gani hawezi kunidhalilisha hata siku moja kwa kutuma picha yangu mtandaoni ”
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK