Taarifa Mbaya: Joto Kuongezeka Kwa Wastani wa Nyuzi 34

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imeeleza kuwa hali hiyo inatokana na jua kuwa la utosi na mvua za vuli kuwa hafifu

TMA imeeleza kuwa joto hili litadumu mpaka kufika mwezi Januari mwakani

Aidha, Meneja wa kituo kikuu cha Utabiri, Samweli Mbuya amefafanua kuwa kuongezeka kwa joto ni mwenendo wa mifumo ya hali ya hewa kusini mwa mstari wa Ikweta
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad