AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MAMA mmoja nayefahamika kwa jina la Scolastica Selvina mkazi wa mtaa wa Polisi Kata ya Mafiga mkoani Morogoro amedaiwa kumfungia ndani binti’ye Oliver John (19) kwa zaidi ya mwaka mmoja huku akiwa mgonjwa.
Binti huyo alibainika kuwa amefichwa hivi karibuni baada ya wananchi wa mtaa huo kutoa taarifa kwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa huo, Feliksi Aduti ambaye naye alitoa taarifa kwa Kamanda wa Operesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers ambaye alifika kwa haraka katika mtaa huo uliopo jirani na Msikiti wa Mkuu wa Jeshi la Polisi Mstaafu (IGP), Omar Mahita.
VIDEO;
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK