AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Diwani wa kata ya Mtoni jijini Dar es salaam, Bernad Mwekyemba amemvaa Katibu wa Itikadi, Uenezi na mawasiliano ya Umma Ado Shaibu baada ya kusema amempa maelekezo wakili na Rais wa Chama wanasheria Tanganyika kufungua kesi Mahakama kuu kanda ya Dar es salaam kumshtaki Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli mara baada ya kumteua Mwanasheria Mkuu wa Serikali Dokta Adelardus Kilangi.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK