VIDEO: Zitto ni Mchawi, Kaniroga Sana Kashindwa na sio Raia wa Tanzania- Katibu UVCCM Kigoma

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Kigoma, Agustino Matefu amepokea zaidi ya wanachama 100 kutoka chama cha ACT-Wazalendo.

Katika mkutano huo wa kuwapokea wanachama hao uliofanyika jijini Dar es salaam, wanachama hao wakiwemo madiwani wamesema kuwa, wameamua kukihama chama hicho baada ya kuona kinakosa muelekeo.

“Kama mnavyoona waandishi wa habari, hawa wote siwajui lakini wameamua kuniita ili waweze kujiunga na chama cha mapinduzi CCM, na hizi ni salamu kwa Zitto kwamba 2020 atafute kazi ya kufanya au arudi kwao Kongo,”amesema Matefu.

VIDEO;

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Aisee kadi zimenyooka fresh,vijana wanatunza!

    ReplyDelete
    Replies
    1. Sio kadi tuu.. HATA WAO symbolic.. Zinto Zumbi kambwe kwa cc anajifungia Ofisi I akicheza PS4 na kuuza kadi KILA siku ili anunue luku inawezekana NI Za mzungusho WA kalibuni latest edition

      Delete
  2. Ninja...!!! Unarudisha kwao wiki hii hii..!!!

    Huyu Ana mawasiliano na Mabeberu na NI Kibaraka na Si mtu WA kwetu Arudishwee kwao bila kucheleweshwa kama anakibanda kiuzwe.... Uchochezi Si hulka yetu waTanzania ndio maana wahamiaji haramu wanaumoja waooo nililiona hili kwa kijana Nondo na mikwala Yao ya kiVira

    ReplyDelete

Top Post Ad