AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
RUKWA, NKASI: Wasichana waliopata ujauzito wakiwa bado ni Wanafunzi wamesema wazazi ndio chanzo cha mimba hizo
Wamesema kuwa Wazazi hawatimizi wajibu wao wa kulea na kuwapa mahitaji muhimu
Wilaya hiyo inaongoza kwa idadi kubwa ya Wanafunzi wa shule za msingi na sekondari kupata ujauzito
Takribani Wasichana 115 wamepata ujauzito Wilayani humo kuanzia mwezi Januari mwaka huu
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK