AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Klabu ya Yanga imeweza kuibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Ruvu Shooting kwenye mchezo wa Ligi kuu Bara uliochezwa uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Magoli ya Yanga yalifungwa na Amis Tambwe, Feisal Salum na Heritier Makambo aliyefunga kwenye dakika za mwisho kabisa za mchezo.
Ruvu Shooting na walifanikiwa kupata mabao yao kupitia kwa Fully Maganga na Said Dilunga aliyefunga kwa mkwaju wa penati.
Kwa matokeo hayo yanaifanya Yanga kuzidi kujikita kileleni kwa kuwa na alama 44 na kuiacha Azam yenye 40 kwenye nafasi ya pili.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK