Azam Yatua Dar Kibabe na Kombe Lao la Mapinduzi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Azam Yatua Dar Kibabe na Kombe Lao la Mapinduzi
TIMU ya Azam FC imerejea jijini Dar es Salaam, mapema leo baada ya jana (Jumapili) kuibuka na ubingwa wa Mapinduzi Cup kwa mara ya tatu mfululizo katika mchezo wao dhidi ya Simba uliopigwa katika Uwanja wa Gombani Visiwani Pemba na kufanikiwa kuwachakaza Simba mabao 2-1.






Baadhi ya mashabiki wa Azam FC, wakishangilia baada ya timu yao kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa zamani mapema leo

Wakati huohuo,  wachezaji na benchi la ufundi la klabu ya Simba lililokuwa Visiwani Zanzibar kwa ajili ya kushiriki michuano ya Mapinduzi wamerejea jijini Dar es Salaam, mapema leo kwa ajili ya kujiandaa na michuano mengine ambapo jana walipoteza mchezo wao wa fainali dhidi ya Azam FC,

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad