AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mchungaji Komando Mashimo amefunguka kwa upande wake kuhusu dhamana ya Amber Rutty na mume wake baada ya kuonekana akidai kuwa yeye ndiye amewadhamini huku Mama mkubwa wa Amber Rutty akikanusha na kusema ni yeye ndiye aliyemdhamini.
Mchungaji Mashimo amefichua na mengine kuhusu hilo kwa kusema yeye alikuwa akituma hela ya matumizi wakati Amber Rutty alipoachiwa kwa dhamana na muda mwingine alikuwa na mashaka kuwa hela hizo zilikuwa haziwafikiii wahusika
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK