AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hayo yameelezwa na Katibu Uenezi wa chama hicho, Humphrey Polepole kwenye mahoajiano na kipindi cha Clouds 360 kinachoruka Clouds TV.
Polepole amesisitiza kwamba yale ni maoni yake binafsi na CCM haihusiki naye, huku akishauri watu ambao wanaguswa na tuhuma zinazotolewa na Musiba kwenda Mahakamani na kufuata taratibu za kisheria.
Utakumbuka kuwa Cyprian Musiba ambaye anajinasibu kama 'Mwanaharakati' amekuwa na kawaida ya kutoa tuhuma dhidi ya viongozi mbalimbali ndani ya chama hicho na vile vya upinzani.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK