AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Pamoja na Shukrani hizo Mungure amemjia juu Mkuu wa mkoa wa Dar Es salam Paul Makonda kwa waraka wake alioutoa unaomuhusu Lissu pamoja na Viongozi wanaozungumza kuhusu Ziara ya Lissu huko Barani Ulaya.
Amesema kuwa kama CHADEMA anachokifanya Lisu ni sahihi huku wakiwataka viongozi wengine kunyamaza na kumuacha Tundu Lissu kufanya ziara yake kwa kuwa katiba ya Tanzania Ina mruhusu na hajaivunja kama wengine wanavyodai.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK