Good News...Kinywaji cha Ali Kiba Kuanza Kupatikana Dar es Salaam

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa muziki, Alikiba amethibitisha kuwa kinywaji chake cha Mofaya kuanza kupatikana katika mkoa wa Dar Es Salaam.

AliKiba kupitia ukurasa wake wa Instagram Kiba ameweka wazi maeneo ambayo kitakuwa kinapatikana. 

"Sasa Mofaya Energy Drink zimeanza kupatikana jijini Dar es Salaam kwa Mawakala Wakuu," aliandika AliKiba. 

Aliongeza kuwa watu wa mikoani wakae mkao wa kula maana kinywaji hicho kitasambaa nchini nzima. 
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad