Halima Mdee:Kuna Kila Dalili Bunge Hili Hatutajadili Kabisa Taarifa za CAG

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Huu ndio ujumbe Mhe. Halima Mdee aliouandika katika mtandao wa twitter:

KUNA dalili kwamba BUNGE hili hatutajadili KABISA taarifa za CAG ! Wajumbe wa KAMATI za PAC na LAAC wamesambazwa katika KAMATI nyingine!! Imethibitika HIVYO. Kwa ufupi KAMATI hizo za MAHESABU hazipo kwa SASA. Kwa msiojua BUNGE hili ndio tungejadili 1.5trillion na mambo MENGINE.



JF



Salary Slip

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad