google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Harmonize Aonyesha Ujio wa Kolabo Yake na Burnay Boy | UDAKU SPECIAL

Harmonize Aonyesha Ujio wa Kolabo Yake na Burnay Boy

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Harmonize Aonyesha Ujio wa Kolabo Yake na Burnay Boy
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva kutoka katika lebo ya muziki ya WCB iliyochini ya Diamond Platnumz, Harmonize alimaarufu Konde Boy, ametujuza ujio wa kolabo yake na msanii kutoka Nigeria.


Msanii huyo akiwa nchini Nigeria kwa sasa ameonekana akiwa na Burnay Boy katika maeneo tofauti tofauti lakini pia akipost moja ya picha aliyopiga na Burna Boy na kuweka wazi kuwa kuna ujio wa kolabo yake mpya na mshindi huyo wa tuzo tatu za Sound city.


Ikumbukwe kwamba Harmonize amefanya zaidi ya kolabo nne na wasanii kutoka pande hizo za Nigeria.

Harmonize ametujuza kwamba kuna zaidi ya kolabo .


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad