AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii huyo akiwa nchini Nigeria kwa sasa ameonekana akiwa na Burnay Boy katika maeneo tofauti tofauti lakini pia akipost moja ya picha aliyopiga na Burna Boy na kuweka wazi kuwa kuna ujio wa kolabo yake mpya na mshindi huyo wa tuzo tatu za Sound city.
Ikumbukwe kwamba Harmonize amefanya zaidi ya kolabo nne na wasanii kutoka pande hizo za Nigeria.
Harmonize ametujuza kwamba kuna zaidi ya kolabo .
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK