AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kishoa ambaye ni mke wa aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kusini ( NCCR–Mageuzi ), ametoa Rai hiyo leo jijini Dodoma ambapo amesema ufisadi huo unaendelea na umebainishwa katika Ripoti ya CAG ya mwaka 2009 na ya mwaka 2018 ambapo Mwanasheria Mkuu waSerikali aliahidi mbele ya Bunge kua atalifanyia kazi ambapo mpaka sasa hajalifanyia kazi huku Bunge likishindwa kumuwajibisha.
Katika Ripoti hizo za CAG zilionyesha Tanzania mepoteza zaidi ya shilingi Trilion 1.3 na mikataba hiyo ikiendelea itapoteza zaidi hivyo Waziri huyo Kivuli pia ameomba Rais Magufuli kutumia Mahakama za Kimataifa katika swala hilo kama kwake limekua gumu ili kuokoa fedha za Watanzania.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK