AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanamke huyo amesema kwamba alifanyiwa tukio hilo baada ya kukutana na msanii huyo club huko ufaransa, na akamkaribisha chumbani kwenye hoteli aliyofikia iliyokuwa inajulikana kwa jina la ‘Mandarin Oriental Hotel.Mwanamke huyo amefunguka kwamba chumba walichotumia na Chris Brown ndipo alipomfanyia kitendo hicho humo.
Chris Brown (Breezy) hajasema neno lolote juu ya taarifa hizo.
Taarifa zilizotolewa na chanzo cha Ufaransa cha ‘Closer’, kinaeleza kwamba Breezy yupo chini ya upelelezi wa polisi kuhusiana na tuhuma hizo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK