Mwijaku Azidi Kuikalia Kooni Ndoa ya Diamond na Tanasha...'Kutambulishwa Sio Ndoa '

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mahusiano kati ya Diamond Platnumz na Tanasha kila kukicha yanazidi kugonga vichwa vya habari, toka mwisho mwa mwaka jana yamekuwa yakichukua nafasi kubwa kwenye mazungumzo mtandaoni.

Kwa sasa ni mwigizaji wa filamu Bongo, Mwijaku ambaye amemueleza Tanasha kuwa asichukulie kitendo cha kutambulishwa kwa wazazi wa Diamond ndio tayari kaolewa kwani muimbaji huyo sio muoaji na ameshafanya hivyo mara kadhaa.

“Kutambulishwa sio ndoa, jiulize wangapi wametambulishwa kwa mama yake Diamond. Huu ni
utamaduni wetu wa Afrika ukitaka kuuteka moyo wa mwanamke mtambulishe kwa wazazi wako,” Mwijaku ameiambia Wasafi TV.

Mwishoni mwa wikiendi iliyopita Diamond na Tanasha waliibua  gunzo mara baada ya kusambaa kwa video mtandaoni ikionyesha Bibie akiwa na mama mzazi wa muimbaji huyo na dada yake, Esma Platnumz.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad