AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Ile dhahabu Watuhumiwa wale walishikwa tarehe 4, wakarudishwa Mjini na Kikosi cha Polisi nane, wakawapeleka Central wala hawakuwaingiza ndani wakawa wanajadili namna ya kuwapa hela, wakawaambia watawapa BILIONI 1 na usiku wakaondoka Central” Rais Magufuli
“Umefanya vyema kuwakamata wale Askari waliokuwa wakizungumza na mtuhumiwa ili wapewe rushwa, walishapewa Milioni 700 na nyingine waliambiwa watapewa Sengerema” Rais Magufuli
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Na hizo Mia saba walizopewa nyanganya zielekezwe kivuko cha mafia dar maana kinahatarisha maisha ya binadamu. Pia hao askari pengine ni wazoefu na hii si mara ya kwanza kutorosha dhahabu, wasaidie uchunguzi hao
ReplyDelete