AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanadada huyo ambae aliwahi kum-attack Zari alipokuwa na mahusiano na Diamond na hata baadhi ya picha zake kusambaa katika mitandao akiwa na msanii huyo hivyo kuhisiwa kuwa mwanadada huyo anaweza kuwa na mahusiano na Diamond Platinumz.
Alipokuwa akijibu maswali hayo katika uwanja wa snapchat, Shaddy boo anasema zari ni mwanamke bora na mama bora zaidi kuliko Hamisa hivyo siku zote chaguo lake litakuwa kwa zari na sio Hamisa.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK