AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mtu mmoja ambaye jina lake halijafahamika mara moja amenusurika kifo baada ya kujirusha baharini kutoka kwenye Boti ya Azam iliyokuwa ikitoka Dar es salaam kwenda Unguja Jana Februari 11, 2019 majira ya saa 6 mchana
-
Mpaka sasa haijatambulika sababu ya kijana huyo kujirusha
-
Waokoaji wamefanya bidii za kijana huyo kuokolewa na kukimbizwa Hospitalini
Kutokana na maadili na miiko ya kiuandishi sitaweka video ya tukio hilo la kusikitisha.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK