At The End Fahari ya Mwanamke ni Mwanaume...Mambo ya Kujisifia U Single Mother ni Mbwembwe tu ila Moyoni Inakusuta

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Nikakumbuka mada nyingi zilizowahi kutolewa hapa kutetea single parent family nikaanza kuzitafakari na kuona hazina ukweli wowote na kwamba kwa namna moja au nyingine zinapotosha kizazi hiki cha sasa.

Naturally, a female should be possesed by a male hiyo ndio fahari na usalama wake kutokana na alivoumbwa na mwenyezi Mungu. Mwanamke anasikia fahari, protection na safe sana akiwa na mume around, Haya mengine ni kujifariji tu hakiyanani.

Msipotoshe jamii kwasababu katika ujana mlikosea na kajikuta nje ya qualification za kuwa na familia yenye baba na mama kwa pamoja. Au kwsababu ya matakwa fulan fulan usipotoshe jamiii kuwa single parent family ndio mpango. Maana kwa upande mwingine that is selfish.

Beijing things and technology ni kati ya vyanzo vya kuwafanya wanawake wengi wajifariji kuwa inawezekana kuwa na familia zao bila kuhitaji wanaume but ukweli unabaki palepale kuwa wanawahitaji wanaume. Tusiendelee kuharibu jamii, kama uliharibu na ikashindikana kuishi na mwenza wako basi jitahidi watoto ulionao kuwaambia ukweli sio kuwajengea chuki kuhusu mzazi mwenzio na wakajikuta wanachukia ndoa. Madhara yake ni makubwa kuliko unavojifurahisha kwa kauli unazowapandikizia watoto wako.

Turudi katika lengo la Mungu kumuumba Adamu na Eva ambalo ni kutengeneza couple itakayotimiza makusudi ya Mungu kwa kusaidiana lakini pia kuzaa watoto watakao lelewa na wazazi wao.

GOOD MORNING!

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad