Comment ya Steve Nyerere kwa Joti kuhusu kauli yake ya Ommy Dimpoz

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mchekeshaji Joti amechukua haedlines leo February 9,2019 kupitia mitandao ya kijamii hii ni baada ya kupost video clip kupitia ukurasa wake wa instagram kuhusiana na kauli ya Steve Nyerere kusema kuwa Ommy Dimpoz hatoimba tena.

Mwigizaji Steve Nyerere ameonekana kuipata video hiyo iliyofanywa kwa dhumuni la kuiburudisha jamii na hivyo Steve aliamua kujibu kile ambacho Joti amekiandika kwenye ukurasa wake wa instagram.



Joti ameandika >>> “Jamani mbona Ommy dimpoz ameimba,aliesema Ommy hatoimba tena ni nani!?”

Steve Nyerere alimjibu “Huna wakubwa kwenu, huna adabu, huna wasomi kwenu, huna voko kwenu, huna nidhamu kwenu, you are very discipline wewe haya futa haraka”
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad