Hii hapa Ratiba ya Yanga na Stand United Leo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hii hapa Ratiba ya Yanga na Stand United Leo
VUMBI la ligi kuu Bara mzunguko wa 28 unaendelea leo ambapo timu nane zitashuka kwenye viwanja vinne tofauti kutafuta pointi tatu kama ifuatavyo:-

KMC watamenyana na Mtibwa Sugar Uwanja wa Uhuru, saa 10:00 jioni.

Mbao FC wataikaribisha Yanga Uwanja wa CCM Kambarage saa 10:00 jioni.

Mbeya City dhidi ya Tanzania Prisons, uwanja wa Sokoine saa 10:00 jioni.

Stand United watamenyana na Lipuli FC  uwanja wa Kambaragesaa 10:00 jioni.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad