Imefichuka: Amber Ruty amechepuka kwenye ndoa yake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Imefichuka: Amber Ruty amechepuka kwenye ndoa yake
Imebainika kwamba ndoa mpya kati ya video vixen, Amber Ruty na mume wake Said, iliingia kidudu mtu baada ya mwanaume mmoja kujitokeza na kusema kwamba amewahi kukutana kimwili na mwanadada huyo, ikiwa ni miezi miwili tu imepita tangu afunge ndoa.


Siri hiyo imewekwa wazi kwenye FNL ya East Africa Television, baada ya kijana aliyejitambulisha kwa jina la Silas, kukiri kuwa amewahi kufanya mapenzi na Amber Ruty hivi karibuni.

Silas amesema taarifa hizo ni za ukweli na wala sio kiki, licha ya kwamba ukweli wake umemletea matatizo makubwa ikiwemo kupigwa na Amber Ruty mbele za watu.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad