KIMENUKA..Ebitoke Akiri Kumuiba Mume Wa Mama Ashura

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mchekeshaji maarufu kwenye Mitandao ya kijamii Anastazia Exavery maarufu kama Ebitoke amefunguka na kukiri kutembea na Mume wa msanii mwenzake Mama Ashura.

Skendo ya Ebitoke kumuiba mume wa Mama Ashura ambaye alikuwa Meneja wao Timamu Tv, Conrad Timoth zilianza Baada ya Mama Ashura kutimuliwa na Ebitoke kuchukua nafasi yake.

Kwenye mahojiano aliyofanya na kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio, Ebitoke amefunguka kwamba yeye hakumfuata Timoth ili kuwa naye kwenye mahusiano, licha ya kuwa Bosi wake huyo ni mume wa muigizaji mwenzake, Mama Ashura.

Baada ya kuulizwa tetesi za kugombana na Mama Ashura kwa kumchukulia mume, Ebitoke alikiri haya.

“Sasa ananimind mimi ndio nilimfuata Timoth nikamwambia njoo kwangu, Haya mambo yalishapitwa na wakati”.

Miezi michache iliyopita Ebitoke alitangaza kuondoka Timamu kwa Timothy na kufanya Sanaa ya kujitegemea muda michache baadae Ashura alionekana tena ndani ya Timamu.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad