AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya Fid q kukabidhi pesa hiyo kwa mama yake na marehemu aliamua uweka video clip ambayo ilikuwa ikumuonyesha mama huyo akishukuru na kutao sala wa Mh Makonda kwa uamuzi wake wa kuamua kumsaidia.
Hata hivyo baada ya kuiona video hiyo hanscana alitoa povu na kusema kuwa kwake hata ama atakufa na kumuona mama yake akikabidhiwa pesa hivyo na kurekodiwa hatokaa hafurahi kitendo icho huko atakapokuwa.
Kwa kutumia ustaarabu wae nae Fid Q aliamua ujibu kwanii aliamua kuweka video hiyo ktaika mtandao wa kujiamii huku akisema kuwa kufanya hivyo kunaongeza uaminifu na hamasa kwa wale wanaotaka kusaidia kwa sababu kuna baadhi ya rambirambi huwa haziwafikii walengwa.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK