AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mh January Makamba amefunguka na kusema kuwa auli mbiu ya kipindi ch CCM ya hapa kazi tu waliipata utoka kwa Diamond baada ya uwaambia kuwa ile sera yao ya kwanza ya hapa ni azi tu kuona kuwa haileti mantika kama hiyo.
January Makamba amefunguka hayo alipokuwa katia mahojiano na clouds media na kusema kuwa moja ya mambo anayoubuka katika uchaguzi wa mwaka 2015 katika michango walioipata kutoka kwa wasanii ni swala la iyo kauli mbiu ya chama .
Mh makamba anasema “Msanii Diamond platinumz alitusaidia kupata kauli mbiu ya buchaguzi wa CCM mwaka 2015 kutoka hapa ni kazi tu na wenda kwenye hapa kazi tu , “
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK