AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wanawake na wadada nawashauri msikubali kupigwa picha na wapenzi au waume zenu wakati wa tendo la ndoa...Hii kitu imekuwa ikitumika kuwarudi na kuwachafulia majina pale mnapoachana...
Anataka picha au video ya nini na wakati mpo nae ikatokea bahati mbaya uhusiano ukavunjika unadhani hizo data anapeleka wapi.
Wanaume wengi wamekua sio wastaarabu kabisa, ukiingia kwenye mitandao ya kijamii picha nyingi za uchi zinazotumwa ni za wanawake na zimewekwa mtandaoni na waliokuwa watu wenu ambao mlikuwa mnawaamini mwanzo mwisho.....
Kuweni Makini....
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK