AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muda mchache baada ya Maalim Seif Sharif Hamadi kutangaza kuhamia ACT Wazalendo wanachama na viongozi mbali mbali wa Chama cha Wananchi CUF waliokuwa wanaomuunga mkono visiwani Zanzibar wachukua uamuzi wa kubadilisha bendera katika ofisi zao na kuweka bendera za ACT - Wazalendo.
Katika hatua nyingine wameamua kubadilisha rangi kwa baadhi ya ofisi na kupaka rangu za ACT wazalendo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK