Dalili za Kutambua Kama Mtoto anatumika Kingono

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mdau amewasilisha baadhi ya hoja akizungumzia dalili ambazo zinaweza kuwa taarifa kama mtoto anatumika kingono. Hoja zake ni;

Mtoto kupata shida wakati wa kukaa au kutembea (miaka 2 - 10) na kuwaogopa baadhi ya watu kupita kiasi au sehemu fulani au vitu (miaka 0-5)

Mtoto kupenda kujishika sehemu za siri kiasi cha kujisahau mpaka kulala akiwa anajishika na kukaa chooni muda mrefu au kuhitaji kujisaidia mara kwa mara (miaka 0-5)

Anaweweseka usiku (miaka 0-5), anakataa/kusumbua kula au kutapika bila ugonjwa mahususi (miaka 0-5) na huona aibu na kujitenga (umri wote)

Hushindwa kuzuia haja kubwa (miaka 4-7), kuwa mkimya isivyo kawaida (umri wa balehe), kuwa na kiburi, maamuzi ya kukinzana na maagizo ( umri wa balehe) na kuwa na Msongo wa mawazo (8-17)

Je, wewe wafahamu nyingine? Tufahamishe
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad