Donald Trump Atishia Kufunga Mpaka wa Marekani na Mexico

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Rais wa Marekani, Donald Trump ametishia kufunga mpaka wa Marekani na Mexico ikiwa Mexico hawatachukua hatua madhubuti kuwazuia wahamiaji kuingia nchini Marekani.

Hatua hiyo ya kufunga mpaka inatishia kupoteza biashara yenye thamani ya mabilioni ya dola za kimarekani.

Tishio hilo limekuja baada ya kuwepo kwa wimbi kubwa la wahamiaji wanaoingia Marekani wakitokea Mexico kwa nia ya kutafuta hifadhi.

Waziri wa mambo ya nje Marcelo Ebrard amesema kwenye ukurasa wake wa Twitter kuwa Mexico ni ''jirani mzuri'' kwa Marekani ''lakini haitachukua hatua kutokana na vitisho''.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad