AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jana klabu ya Simba imefanikiwa kufuzu hatua ya robo fainali kwa kuichakaza AS Vita ya DR Congo goli 2-1, na kuungana na klabu nyingine 7 kutoka mataifa mbali mbali.
Klabu ambazo zimeungana na Simba SC ni Espérance Tunis (Tunisia), CS Constantine (Algeria), TP Mazembe (DR Congo), Horoya AC (Guinea), Mamelodi Sundowns (Afrika Kusini), Wydad Athletic Club (Morocco) na Al Ahly ya Misri.
Droo ya robo fainali itatangazwa wiki lijalo Machi 20, 2019 ambapo michezo itaanza mwezi wa Aprili mwaka huu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK