Matumizi ya dawa za kutuliza maumivu kiholela yatajwa kuchangia magonjwa ya Figo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Naibu waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii jinsia wazee na watoto Dkt Faustine Ndugulile amesema kuwa miongoni mwa vitu vinavyochangia uharibifu wa Figo ni matumizi ya dawa za kutuliza maumivu mara kwa mara.

Dkt. Ndugulile amesema hayo wakati akizungumzia maadhimisho ya Siku ya Figo Duniani Jijini Dodoma iliyobeba kauli mbiu isemayo Afya ya Figo kwa kila mmoja kwa kila mahali.

Amesema kuwa watanzania wengi wamekua wakitumia Dawa kiholela bila ya kupima na kufuata ushauri wa Daktari hasa matumizi ya Dawa za maumivu kila wanapohisi kupata maumivu ya kichwa kwani hivi sasa wagojwa wa Figo wanaendelea kuongezeka nchini.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad