AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Global Publishers, Chocky ambaye kwa sasa anafanya shughuli zake za muziki jijini Mwanza, alisema aliamua kufunga ndoa hiyo kimyakimya jana kwani ameona ni muda muafaka wa kuhalalisha ndoa.
“Si unajua tena utu uzima huu nikaona ni vyema nifanye kitu japo kuhalalisha tu, sikutaka iwe sherehe kubwa wala nini, kiasi tu cha mimi, mke wangu na watu wachache sana. Mke wangu huyu kabla ya kumuoa nilishakuwa naye kwa takriban miaka miwili hivi,” alisema Chocky.
Chocky alisema anamshukuru Mungu baada ya kuugua kwa muda mrefu, kwa sasa yupo fiti na anafanya makamuzi ndani ya Jiji la Mwanza, hivyo mashabiki wake waendelee kumuunga mkono.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK