Asakwa na polisi baada ya kudukua mtandao wa Serikali na kujiajiri

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Polisi Nchini Afrika Kusini wanamsaka kijana aliyedukua na kujiajiri kwenye sekta ya Afya na kisha kujilipa mshahara.

Bright Chabola aliyesomea ‘Computer Engineering’ alidukua mtandao wa Serikali na kujiajiri Upande wa Afya kama Msimamizi wa Mfumo mwaka 2018.

Kijana huyo aliwambia wazazi wake kuwa amepata kazi nzuri na analipwa mshahara Randi 7000(zaidi ya shilingi 1,100,000 za Kitanzania).

Kijana huyo alijulikana kufanya kosa hilo baada ya kuonekana anapokea mshahara bila kulipa kodi na alipofatiliwa na kugundulika kuwa hata kazini alikuwa haendi na ameanza kupokea mshahara tangu mwezi Juni, mwaka 2018.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad