AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katika mahojiano na Gazeti la Ijumaa juu ya skendo hiyo, Aunt alisema hakuna mwanamke mwenye akili timamu anayejitoa kwenye mitandao ya kijamii kwamba ameibiwa mwanaume kwani kufanya hivyo ni kujidhalilisha.
“Nashangaa kila kukicha Aunt kaniibia mume, kweli wewe ni mwanamke timamu? Hata hivyo, unalalama kuwa umeibiwa mwanaume kwani umemzaa? Hebu waniache tafadhali,” alisema Aunt.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK