Baada ya Rais Magufuli Kuamuru Waziri Jafo Kuhamia Kwenye “Pagara” Katii Amri

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Waziri wa Ofisi ya Rais (TAMISEMI) Selemani Jfo amefunguka sababu za kuchelewa kumaliza ujenzi wa jengo la ofisi yake ikiwa ni siku mbili tangu Rais John Magufuli aagize Wizara hiyo ihamie kwenye jengo hilo hivyohivyo hata kama halijamalizika, Waziri Jafo ametii maagizo hayo ya Rais.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad