AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Shilole alisema ipo siku atashika maiki watu watashangaa atakapozungumza Kingereza kilichonyooka na ndio maana kila kukicha anakazana bila kuchoka.
“Nitazungumza broken mpaka kieleweke wala sitakaa nikaona aibu kwani ni lugha ya kimataifa na naamini itanikutanisha na watu mbalimbali,” alisema Shilole ambaye siku hizi amekuwa akiongea Kiingereza broken anapokuwa mbele za watu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK