AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mujibu wa nyaraka za Mahakama zinaripoti kuwa Michael Kremerman ambaye ni mwenye nyumba amefungua mashtaka na kudai kuwa mwaka 2017 Blac Chyna aliingia mkataba wa kuishi kwa mwaka mmoja kwenye nyumba ya vyumba sita, mabafu matano ikiwa na studio ambapo nyumba hiyo iligharimu dola za kimarekani $16,000 sawa na zaidi ya shilingi Milioni 37 za Kitanzania kodi ya mwezi.
Michael Kremerman aliendelea na kudai kuwa Chyna aliongeza mkataba hadi March 31, 2019 lakini ilipofika November 2018 alihama hivyo miezi yote iliyobaki ili kukamilisha mkataba hakuwa analipa kodi hivyo Kremerman alisema anamdai jumla ya kiasi cha dola za Kimarekani $48,552 sawa na zaidi ya Mil. 112 za Kitanzania ukimjulisha na pesa za uharibifu alioufanya ndani ya nyumba hiyo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK