AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Bodi Filamu amesema kauli iliyotolewa na Mbunge Joseph Musukuma inadhalilisha bodi hiyo na wasanii.
Jana Bungeni Musukuma alisema, 'Tasnia ya filamu nchini ipo hoi taabani. Wasanii wa Bongo Movie hawana kitu, wanategemea michango ya misiba, kufungua madanguro na kuwa makuwadi wa wanaume'.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK