AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Taarifa hizo zinakuja ikiwa ni siku moja imepita toka staa wa club ya Paris Saint Germain ya Ufaransa Layvin Kurzawa kuonekana amepiga picha na Drake kabla ya mchezo ambao timu yake imepoteza kwa magoli 5-1 dhidi ya Lille.
Inaelezwa kuwa Layvin Kurzawa baada ya kupiga picha na Drake timu yake ndio ikaenda kupoteza mchezo wake wa pili Ligue 1 msimu huu, maamuzi hayo ya AS Roma yametoka kutokana na mastaa wengi wa soka ambao wamekuwa wakionekana wanapiga picha na Drake siku kadhaa kabla ya mchezo, basi game yao inayofuatia huwa wanapoteza.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK