Club ya AS Roma Imewafungia Wachezaji Wake Kupiga Picha na Drake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Club ya AS Roma Imewafungia Wachezaji Wake Kupiga Picha na Drake
Club ya AS Roma ya Italia imefikia maamuzi ya kutangaza kuwafungia wachezaji wake kupiga picha na rapper wa Canada Drake hadi mwisho wa msimu 2018/2019, maamuzi hayo ya club hiyo yametangazwa kupitia ukurasa rasmi wa twitter wa club hiyo ya AS Roma.

Taarifa hizo zinakuja ikiwa ni siku moja imepita toka staa wa club ya Paris Saint Germain ya Ufaransa Layvin Kurzawa kuonekana amepiga picha na Drake kabla ya mchezo ambao timu yake imepoteza kwa magoli 5-1 dhidi ya Lille.
Club ya AS Roma Imewafungia Wachezaji Wake Kupiga Picha na Drake


Inaelezwa kuwa Layvin Kurzawa baada ya kupiga picha na Drake timu yake ndio ikaenda kupoteza mchezo wake wa pili Ligue 1 msimu huu, maamuzi hayo ya AS Roma yametoka kutokana na mastaa wengi wa soka ambao wamekuwa wakionekana wanapiga picha na Drake siku kadhaa kabla ya mchezo, basi game yao inayofuatia huwa wanapoteza.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad