AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Inaelezwa kuwa nyumba hiyo ambayo ipo Mount Kisco mjini New York itauzwa kwa bei ya punguzo hadi kufikia kuuzwa shilingi Bilioni 1.6 za Kitanzania ($699,000) na inatajwa kuwa rapper huyo anadaiwa zaidi ya shilingi Bilioni 3 za Kitanzania. Rapper DMX anajaribu kulipa madeni yake baada ya kukaa jela kwa mwaka mmoja kutokana na kosa la ukwepaji kodi.
DMX aliachiwa huru January 2019 baada ya kukaa jela miezi 12 kwa kukutwa na hatia ya ukwepaji kodi na kudaiwa kiasi cha zaidi ya dola milioni 1.7, sasa moja ya masharti ya kuachiwa yalikuwa ni lazima alipe kiasi hicho cha pesa.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK